Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za utafiti, fursa za ushirikiano wa kitaalamu na fursa za ajira katika kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki ili nafasi zinapotangazwa watanzania wenye sifa wajitokeze kwa wingi kupigania nafasi hizo
Watanzania wametakiwa kuchangamkia fursa za utafiti, fursa za ushirikiano wa kitaalamu na fursa za ajira katika kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki ili nafasi zinapotangazwa watanzania wenye sifa wajitokeze kwa wingi kupigania nafasi hizo
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa tasnia ya sanaa ya uchongaji haiwezi kuendelea kama mgogoro wa umiliki wa eneo la Mwenge utaendelea kuchukua nafasi kubwa katika utekelezaji wa majukumu yao
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amewaomba viongozi wa Mkoa wa Morogoro kushirikiana na wananchi wa mkoa huo kutambua na kulinda maeneo yote yaliyotumika wakati wa harakati za ukombozi wa bara la Afrika
Bodi ya FilamuTanzania imeagizwa kukaa pamojana kamati ya maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ili kuangalia namna watakavykubaliana kuwa na uwiano sawa katika muda wa kuruhusu baadhi ya maudhui ya filamu na vipindi kuruhusiwa kurushwa au kuonyeshwa katika luninga